All eBooks

Ufafanuzi wa Sheria ya Kumiliki Ardhi Vijijini Tanzania

Ardhi ni rasilimali kuu na msingi mkubwa wa maendeleo ya wakazi wa
Vijijini na Mjini. Ustawishaji wa mazao na ufugaji wa aina mbalimbali
wa viumbe hai hufanyika kwenye ardhi. Aidha, m

  • AuthorAl-Muswadiku K. Chamani
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010
Ufugaji Bora wa Kuku

Ndege maarufu wanaofugwa na binadamu kwa ajili ya mayai na nyama yao ni wa aina sita zifuatazo: kuku, bata, batamzinga, bata bukini, njiwa na kanga. Kati ya hao sita, ndege aliye maarufu zaidi ya we

  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2008
UFUGAJI BORA WA NG'OMBE WA MAZIWA

Kitabu hiki ni mwongozo kwa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa, hasa wafugaji wadogowadogo wanaoanza kufuga ng’ombe hao. Wakulima wanafahamishwa juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Idar

  • AuthorKADADET TANZANIA
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2004
UFUGAJI BORA WA SUNGURA

Sungura ni moja ya wanyama wadogo ambao ni rahisi kuwafuga. Nyama yao inafanana na ya kuku na ni tamu. Ina protini nyingi na viinilishe muhimu. Ni dawa kwa watu wagonjwa, wazee na watoto dhaifu. Vi

  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2009
Uhusiano wa Chama Tawala, Serikali na Sheria za Nchi

Vyama vya siasa duniani kote vina lengo kuu moja, nalo ni kugombea na kushindana wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu na Chaguzi Ndogo ili kushinda na kushika dola kwa kuunda serikali kuu na serikali

  • AuthorAl-Muswadiku K. Chamani
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2018
UJASIRI WA MWANA WA MFALME

Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi ama kuiga,
kunakili, kutafsiri, kupiga picha au kukitoa kitabu hiki
kwa jinsi nyingine yoyote ile bila idhini ya Tanzania
Educational Publi

  • AuthorDomitian Protase Kagaruki
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2011
Uongo wa Mpiga Ramli

Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kuiga, kunakili,
kupiga picha au kukitoa kitabu hiki kwa jinsi
nyingine yoyote ile bila idhini ya Tanzania Educational
Publishers Ltd.

  • AuthorDomitian Protase Kagaruki
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2011
Uongozi wa Kiroho : Misingi ya Uongozi katika Kanisa la Kikristo

Kama Baba Askofii Abedncgo Keshomshahara, Askofu wa Dayosisi ya Kaskazini katika Dibaji ya mwandi

  • AuthorYusto P. Muchuruza
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2020
UROHO WA CHUI

Haki zote zimehifadhiwa. Hairuhusiwi kuiga,
kunakili, kupiga picha au kukitoa kitabu hiki
kwa jinsi nyingine yoyote ile bila idhini ya
Tanzania Educational Publishers Ltd.

  • AuthorSerapion Karoli
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2001
Usalama Barabarani Jukumu Letu

Mimi ni dereva wa miaka mingi. Kwa sababu hiyo ninao uzoefu wa kazi hii. Ninajua raha na karaha za matumizi ya barabara ambayo nimekuwa nikikutana nayo au kuzishuhudia kwa macho yangu. Kwa upand

  • AuthorJohansen Luhahas
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2003

Showing 201 – 210 of 225 results