UFUGAJI BORA WA SUNGURA

UFUGAJI BORA WA SUNGURA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2009

Sungura ni moja ya wanyama wadogo ambao ni rahisi kuwafuga. Nyama yao inafanana na ya kuku na ni tamu. Ina protini nyingi na viinilishe muhimu. Ni dawa kwa watu wagonjwa, wazee na watoto dhaifu. Vipande vya nyama yake vinaweza kuliwa baada ya kupikwa, kukaangwa, kuokwa au kutengeneza supu ambayo ni nzuri sana hasa kwa wagonjwa.

Pay with DPO

dpo
Book Title UFUGAJI BORA WA SUNGURA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 017 6
Edition Language KISWAHILI
Date Published 2009-10-05
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 72
Chapters 10

Related Books

Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
KUTOKA UCHUNGAJI KWENDA UFUGAJI TANZANIA
KUTOKA UCHUNGAJI KWENDA UFUGAJI TANZANIA
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View