Uhusiano wa Chama Tawala, Serikali na Sheria za Nchi

Uhusiano wa Chama Tawala, Serikali na Sheria za Nchi

4.0
  • AuthorAl-Muswadiku K. Chamani
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2018

Vyama vya siasa duniani kote vina lengo kuu moja, nalo ni kugombea na kushindana wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu na Chaguzi Ndogo ili kushinda na kushika dola kwa kuunda serikali kuu na serikali za mitaa. Kwa sababu hii, katika madhumuni mengi ya chama cha siasa chochote, dhumuni namba moja ni kushika dola. Kwa Tanzania, lengo ni kushika dola ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na dola ya Zanzibar. Chama cha siasa kina Sera na misimamo fulani maalumu ambayo hukitofautisha na vyama vingine vya siasa. Wakati wa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu, Chama cha siasa hutumia Sera na misimamo yake hiyo kuandaa Ilani ya Uchaguzi huo. Ilani hiyo ni Ahadi za Chama hicho kwa wananchi wote (watakaopiga kura na ambao hawatapiga kura) kuwa wakikichagua kitaunda serikali ya kuzitekeleza kupitia kuandaa sera, na kutokana na sera hizo kuandaa miswada ambayo itapelekwa Bungeni na kupitishwa kuwa sheria.

Pay with DPO

dpo
Book Title Uhusiano wa Chama Tawala, Serikali na Sheria za Nchi
Author Al-Muswadiku K. Chamani
ISBN 978 9987 07 089 3
Edition Language KISWAHILI
Date Published 2018-04-12
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 37
Chapters 5

Related Books

SILAHA 100 ZA KIONGOZI
SILAHA 100 ZA KIONGOZI
  • UONGOZI NA UTAWALA (LEADERSHIP & ADMINISTRATION)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View
Kudos President  Magufuli
Kudos President Magufuli
  • UONGOZI NA UTAWALA (LEADERSHIP & ADMINISTRATION)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View