Ufugaji Bora wa Kuku

Ufugaji Bora wa Kuku

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2008

Ndege maarufu wanaofugwa na binadamu kwa ajili ya mayai na nyama yao ni wa aina sita zifuatazo: kuku, bata, batamzinga, bata bukini, njiwa na kanga. Kati ya hao sita, ndege aliye maarufu zaidi ya wengine ni kuku. Kutokana na umaarufu huo, kitabu hiki kinahusu ndege huyu. Kuku wanaofugwa hapa nchini hutengwa katika aina kuu mbili: (a) Kuku wa Kienyeji na (b) Kuku wa Kigeni. Kuku wa Kigeni nao hutengwa katika aina kuu mbili, yaani (a) Kuku Kizazi Menyu na (b) Kuku chotara. Hapa nchini kuku wanaofugwa zaidi ni Kuku wa kienyeji na Kuku chotara. Kuku chotara ni kwa ajili ya ufugaji wa kibiashara. Kuku Kizazi Menyu hawafugwi.

Pay with DPO

dpo
Book Title Ufugaji Bora wa Kuku
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-07-016-9
Edition Language KISWAHILI
Date Published 2008-06-10
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 186
Chapters 21

Related Books

Uboreshaji wa Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
Uboreshaji wa Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
  • UFUGAJI WA KUKU (POUTRY HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View