Wadudu Wanaoshambulia Miembe na Maembe na Udhibiti wake

Wadudu Wanaoshambulia Miembe na Maembe na Udhibiti wake

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2023

Magonjwa ni moja ya visumbufu vikuu vya miembe na maembe. Sehemu mbalimbali za miembe na matunda hushambuliwa na aina moja au zaidi ya magonjwa.
Magonjwa hayo hutengwa katika makundi makuu manne yafuatayo:

  • Magonjwa ya Kuvu
  • Magonjwa ya Virusi
  • Magonjwa ya Bakteria
  • Magonjwa ya Mwani

Ni jukumu la mkulima kuelewa aina za magonjwa yanayotengwa kwa kila kundi, dalili zake, madhara yanayosababishwa na njia za udhibiti wake.
Kitabu  hiki  kitamsaidia  mkulima  kuelewa  njia  mbalimbali  za kuwazuia wadudu hao wasishambulie mimea na magonjwa na njia za kuyaangamizi yanapokuwa yameishashambulia miembe na maembe.

Pay with DPO

dpo
Book Title Wadudu Wanaoshambulia Miembe na Maembe na Udhibiti wake
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9976-584-45-5
Edition Language
Date Published 2023-12-18
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 39
Chapters 3

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,000.00
View