VISUMBUFU VYA MAZAO SHAMBANI

VISUMBUFU VYA MAZAO SHAMBANI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year1980

Mazao yaliyo shambani ni viumbe hai. Yakishambuliwa na
visumbufu huweza kudhoofika au kufa kabisa. Iwapo
hayatakufa, mavuno yatakayopatikana yatakuwa kidogo. Ubora
na thamani ya mavuno hayo pia hupungua. Matokeo ya hali hiyo
ni hasara kubwa kwa mkulima, taifa na wote wanaotegemea
mazao hayo. Hasara hiyo inaweza kuwa ni njaa kwa familia ya
mkulima au kukosa fedha. Kwa taifa , hii inaweza kuwa ni njaa
kwa taifa zima au ukosefu wa fedha za kigeni na viwanda
vinavyotumia mazao hayo kukosa malighafi.

Pay with DPO

dpo
Book Title VISUMBUFU VYA MAZAO SHAMBANI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-426-36-2
Edition Language Kiswahili
Date Published 1982-10-21
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 47
Chapters 6

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View