USTAWISHAJI BORA WA CHAI

USTAWISHAJI BORA WA CHAI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2004

Chai ni moja ya mazao muhimu nchini. Zao hili hustawishwa kwa ajili ya majani yake ambayo yana asilimia 4 ya kafeini.

Kwa mkulima, ni zao ambalo huweza kumpatia fedha kila wiki kwa kuchuma majani mabichi na kuyauza. Kwa taifa,

chai huuzwa nchi za nje na kuingiza fedha za kigeni. Hili ni moja ya mazao muhimu ambayo huingiza kwa wingi fedha za kigeni.

Chai ni kinywaji kizuri kwa wananchi. Kinachangamsha na kufurahisha wanywaji. Hakileweshi kama pombe.

Kwa sababu hii unywaji wake husaidia kupunguza ajali na madhara mengine yaletwayo na vileo.
Pamoja na umuhimu wa zao hili, bado wapo wakulima wengi, hasa wale wadogo,

ambao hawaelewi vizuri kanuni za kilimo bora cha zao hili. Pamoja na kueleza mambo mengine muhimu yanayohusu chai,

kitabu hiki kitawafundisha wasomaji historia ya zao hili, umuhimu wake na jinsi ya kulistawisha, kulitunza, kulichuma,

kuuza majani mabichi ya chai na kadhalika.

Pay with DPO

dpo
Book Title USTAWISHAJI BORA WA CHAI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 671 95 3
Edition Language Kiswahili
Date Published 2013-10-21
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 76
Chapters 10

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs5,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs5,000.00
View