Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi

Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze,
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2004

Asilimia 99.6 ya mbuzi wanaofugwa nchini ni wa asili wanaojulikana kama Mbuzi Wadogo wa Afrika Mashariki. Asilimia 0.4 iliyosalia ni mbuzi wa kigeni na mbuzi chotara. Kwa hiyo, kwa sasa, unapozungumzia ufugaji wa mbuzi, unamaanisha ufugaji wa mbuzi wa asili, ambao kwa kweli kimatumizi ni mbuzi wa nyama, maana hawakamuliwi. Mbuzi hawa wana sifa na tabia zifuatazo:

Pay with DPO

dpo
Book Title Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
Author Pius B. Ngeze,
ISBN 978-9987-671-53-3
Edition Language KISWAHILI
Date Published 2004-10-13
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 118
Chapters 10

Related Books

UFUGAJI BORA WA SUNGURA
UFUGAJI BORA WA SUNGURA
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
KUTOKA UCHUNGAJI KWENDA UFUGAJI TANZANIA
KUTOKA UCHUNGAJI KWENDA UFUGAJI TANZANIA
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View