Pius Bakengera Ngeze Maisha yake na Baada ya Miaka 70

Pius Bakengera Ngeze Maisha yake na Baada ya Miaka 70

4.0
  • AuthorPadri Privatus Karugendo
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2013

Kitabu hiki kimeundwa na sura kumi na moja (11). Sura ya
kwanza inahusu kumbukizi ya miaka 70 ya kuzaliwa kwake na
ina maelezo ya mke wake, mama Rachel Wizeye Mbonimana,
juu ya ‘anavyomfahamu mumewe’.
Sura ya pili ina maoni ya watoto wake watano: Catherine
Balankunda akiwa Marekani, William Niyongoma akiwa Juba,
Sudani ya Kusini, Fides Shimilimana akiwa Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam, Flavia Niyikiza akiwa TRA Mbeya na Mariapia
Niyimbona akiwa Chuo Kikuu cha Mzumbe. Kila mmoja anaeleza
anavyomfahamu baba yake. Ninaamini Mzee Ngeze atafurahi
kusoma sura hiyo na kujua anavyoeleweka kwa wanaye. Nao
pia watafurahi kusoma wanavyomwelewa baba yao.
Sura ya tatu ina maelezo ya Watanzania wengine kumi na
watatu kutoka sehemu mbalimbali za nchi yetu wakieleza
wanavyomfahamu. Wale waliokuwa hawamwelewi vizuri Mzee
Ngeze, sasa watamjua zaidi kwa kusoma sura hii. Hata mimi
nilikuwa simfahamu kwa kiasi hicho!

Pay with DPO

dpo
Book Title Pius Bakengera Ngeze Maisha yake na Baada ya Miaka 70
Author Padri Privatus Karugendo
ISBN 978 9987 07 008 4
Edition Language Kiswahili
Date Published 2013-09-19
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 204
Chapters 11

Related Books

Maisha na Ujasiri wa Mjane
Maisha na Ujasiri wa Mjane
  • BIOGRAPHY AND AUTOBIOGRAPHY
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View
Maisha Yangu: Alhaji Abubakari R. Galiatano
Maisha Yangu: Alhaji Abubakari R. Galiatano
  • BIOGRAPHY AND AUTOBIOGRAPHY
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View