MWONGOZO WA UHASIBU WA SHAMBA

MWONGOZO WA UHASIBU WA SHAMBA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2003

Katika kitabu hiki, neno ‘shamba’ limetumika likiwa na
maana ya eneo la ardhi ambamo shughuli mbalimbali za
kilimo, yaani, ustawishaji wa mimea ya mazao na malisho ya
mifugo na ufugaji wa aina mbalimbali za wanyama, ndege na
upandaji wa miti huweza kufanyika. Neno ‘kilimo’ lina maana
ya ustawishaji wa mimea ya mazao, malisho ya mifugo,
ufugaji na upandaji wa miti. Neno ‘mkulima’ lina maana
ya mtu anayefanya shughuli za kilimo.
Ndani ya kitabu hiki, aina ya fedha iliyotumika inaitwa
‘pesa.’ Pesa moja ina senti 100. Yaani, senti 100 ni sawa
na pesa moja. Nimetumia “pesa” ili kuwarahisishia
wasomaji kuelewa yaliyomo kitabuni. Hata hivyo, msomaji
ana uhuru wa kutumia aina nyingine ya fedha badala ya
pesa, mradi kufanya hivyo, ni kwa faida yake au ni kufanya
somo lieleweke kwa urahisi.

Pay with DPO

dpo
Book Title MWONGOZO WA UHASIBU WA SHAMBA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987-671-01-4
Edition Language Kiswahili
Date Published 2002-01-26
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 62
Chapters 5

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View