MWONGOZO WA KILIMO BORA CHA KAHAWA

MWONGOZO WA KILIMO BORA CHA KAHAWA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2018

Kitabu hiki, Mwongozo wa Kilimo Bora cha Kahawa, ni moja
kati ya vitabu viwili nilivyoviandika juu ya zao hii nchini.
Kitabu kingine kinaitwa Kahawa Tanzania. Nakushauri
uwenavyo vyote viwili na uvisome.
Katika kitabu hiki neno mbuni lina maana ya mmea (wa
kahawa), buni ni matunda yanayotokana na maua, punje ni
mbegu zinazopatikana kwa kukoboa buni kavu au kumenya
buni mbichi zilizoiva, kuvundika, kuziosha, kuzikausha na
kuziondoa ngozi ya ndani. Neno kahawa lina maana pia ya
mmea mzima, zao lenyewe ikiwa ni pamoja na punje ambazo
ndizo huuzwa.

Pay with DPO

dpo
Book Title MWONGOZO WA KILIMO BORA CHA KAHAWA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 426 22 5
Edition Language Kiswahili
Date Published 2014-10-21
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 220
Chapters 23

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs10,000.00 Tzs12,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs10,000.00 Tzs12,000.00
View