Mwongozo wa Kilimo Bora cha Alizeti

Mwongozo wa Kilimo Bora cha Alizeti

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2007

Alizeti ni zao linaloweza kuwakomboa wakulima kiuchumi. Pia,
huchangia pato la taifa na kuliingizia taifa fedha za kigeni kwa kuuza
bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa kutokana na mbegu zake.
Wajibu wa wakulima ni kuongeza uzalishaji kwa kuzingatia kanuni
za kilimo bora cha alizeti, ambazo ni pamoja na hizi zifuatazo
ambazo zimefafanuliwa kitabuni:
1. Kutayarisha vizuri shamba.
2. Kila msimu kununua mbegu chotara za kupanda kutoka kwenye
maduka yanayouza pembejeo za kilimo yaliyoidhinishwa na
serikali.
3. Kupanda mbegu hizo kwa nafasi inayopendekezwa na
wataalamu.
4. Kuchagua vizuri muda wa kupanda. Muda mzuri ni ule ambao
utafanya alizeti itoe maua wakati kukiwa na mvua na wakati wa
kukomaa kuwe na hali ya ukame.

Pay with DPO

dpo
Book Title Mwongozo wa Kilimo Bora cha Alizeti
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 426 16 4
Edition Language
Date Published 2020-08-10
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 84
Chapters 19

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View