MWONGOZO WA HIFADHI BORA YA NAFAKA NA JAMII YA MAHARAGE

MWONGOZO WA HIFADHI BORA YA NAFAKA NA JAMII YA MAHARAGE

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2021

Lengo la mkulima kustawisha mimea ya mazao ni hatimaye apate
mavuno mengi na yaliyo bora. Wingi wa mavuno unamaanisha uzito.
Uzito hupimwa kwa kilogramu. Kwa upande mwingine, ubora wa
mavuno huonekana kwa rangi yake ya asili, ladha, harufu na uwezo
wa mbegu kuota na iwapo mbegu hazina dalili za magonjwa au
kuliwa na panya, ndege n.k.
Wakulima wengi hukosa au hupoteza vyote viwili, yaani, mavuno
hupungua uzito na ubora pia hupungua. Inakadiriwa kuwa,
asilimia ishirini na tano (25%) ya uzito wa mavuno yaliyotegemewa
na wakulima, hupotea kwa njia mbalimbali ambazo zimeelezwa
kitabuni. Kiasi hicho cha upotevu ni hasara kubwa kwa wakulima
husika na taifa. Aidha, ubora wa mavuno hushuka sana na mkulima
kuzidi kudidimia kimapato.

Pay with DPO

dpo
Book Title MWONGOZO WA HIFADHI BORA YA NAFAKA NA JAMII YA MAHARAGE
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 084 8
Edition Language
Date Published 2021-04-10
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 34
Chapters 7

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,000.00
View