MWONGOZO KWA WAANDISHI WA HABARI

MWONGOZO KWA WAANDISHI WA HABARI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2004

Mnamo tarehe 23 – 30 Agosti, 1991 kilichokuwa Chama cha Ushirika cha Waandishi na Wachapishaji cha Kagera (Kagera Writers and Publishers Co-operative Society Ltd) kiliandaa Warsha Mjini Bukoba kwa ajili ya Waandishi wa Habari kutoka Vijijini wa gazeti lililoitwa wakati huo, Kagera Leo. Baada ya kumalizika Warsha hiyo, makala na kumbukumbu za majadiliano ya washiriki wa Warsha hiyo, zilichapishwa kitabu. Kitabu hicho kiliitwa Mwongozo kwa Waandishi wa Habari Vijijini kikiwa na ISBN 997 6 982 08 9. Wataalamu na mabingwa kati-ka fani ya uandishi wa habari walialikwa kutayarisha ma-kala na kuziwasilisha kwenye Warsha hiyo na walifanya hivyo.
Chama hicho “kilikufa” tarehe 25 Februari, 1997 kutokana na Azimio la Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Cha-ma hicho. Ingawa Chama hicho kimekufa, lakini maudhui na umuhimu wa baadhi ya makala zilizowasilishwa kwenye Warsha hiyo bado ni mazuri hadi sasa, maana ukweli haufi. Ni kwa sababu hii, tumeamua kuchapisha baadhi ya makala na kutoa toleo jipya la kitabu hicho kwa jina jipya la Mwongozo kwa Waandishi wa Habari.

Pay with DPO

dpo
Book Title MWONGOZO KWA WAANDISHI WA HABARI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 671 46 2
Edition Language
Date Published 2004-05-03
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 77
Chapters 7

Related Books

Simplified Activity – Based Method of Cost Estimates for Simple Buildings
Simplified Activity – Based Method of Cost Estimates for Simple Buildings
  • UNIVERSITY BOOKS
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
A Guide on Book Publishing in Africa
A Guide on Book Publishing in Africa
  • UNIVERSITY BOOKS
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View