MISITU NA HIFADHI YA MAZINGIRA

MISITU NA HIFADHI YA MAZINGIRA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2003

Neno ‘mazingira’ lina maana ya vitu vyote vilivyo hai na visivyo
hai vinavyomzunguka binadamu. Mazingira ni pamoja na
maliasili zinazopatikana kwenye maeneo tunayoishi. Sera ya
Taifa ya Mazingira inaeleza kuwa neno ‘mazingira’ “linajumlisha
hewa, ardhi na maji, uhai wa mimea na wanyama ukiwamo uhai
wa binadamu; hali ya kijamii, kiuchumi na hali inayoshawishi
maisha ya kijamii, kiuchumi na hali inayoshawishi maisha ya
wanadamu na jumuia zao; majengo, miundombinu, mashine na
mambo mengine yaliyoundwa au kutengenezwa na mwanadamu,
maada ngumu, vimiminika, gesi, harufu, joto, sauti, mtetemo
au mnururisho unaotokana moja kwa moja au matokeo ya
shughuli za mwanadamu; pamoja na, ama sehemu moja au
mchanganyiko wa uhusiano wa vyote vilivyotajwa hapo juu.”

Pay with DPO

dpo
Book Title MISITU NA HIFADHI YA MAZINGIRA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987-671-02 1
Edition Language Kiswahili
Date Published 2002-01-28
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 80
Chapters 8

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View