MISINGI YA KILIMO BORA

MISINGI YA KILIMO BORA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year1976

Mojawapo ya matatizo ambayo yanakabili juhudi zetu za kuendeleza
uchumi na maisha yetu ni ukosefu wa vitabu vya kutosha vilivyoandikwa
katika lugha ya Kiswahili juu ya shughuli zetu muhimu za kiuchumi.
Katika nchi hii zaidi ya asilimia tisini ya watu hutegemea kilimo kwa
uchumi na chakula chao. Kwa hiyo, kilimo ndio msingi mkuu wa
maendeleo ya uchumi wa wananchi na taifa zima.
Kadhalika, kiasi kikubwa cha mapato ya serikali hutokana na kilimo.
Licha ya mapato ya fedha ambayo serikali na wananchi wanapata kwa
kuuza mazao ya kilimo nchini, taifa halina budi kuuza mazao ya kilimo
zaidi katika nchi za nje ili tupate fedha za kigeni ambazo zinahitajika
kutuwezesha kununua vyombo vya kuzalisha mali zaidi ambavyo kwa
wakati huu hatutengenezi wenyewe. Vyomo hivi ni kama vile matrekta
ambayo yanasaidia wananchi kulima mashamba makubwa na kuongeza
mavuno na mapato.

Pay with DPO

dpo
Book Title MISINGI YA KILIMO BORA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 018 3
Edition Language Kiswahili
Date Published 1973-07-07
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 161
Chapters 20

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,499.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs5,499.00
View