Mahitaji ya Maji ya Kustawisha Miembe na Umuhimu wa Umwagiliaji

Mahitaji ya Maji ya Kustawisha Miembe na Umuhimu wa Umwagiliaji

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2022

Maji ni pembejeo namba moja kwa kilimobiashara. Bila maji hakuna uhai duniani.  Bila maji hakuna kustawisha mazao ya mimea.  Bila maji ufugaji wa aina yoyote hauwezekani.  Hakuna lolote linaweza kufanyika bila matumizi ya maji.
Katika nyakati hizi ambapo kutokana na mabadiliko ya tabianchi majira ya mvua tuliyoyazoea hayaaminiki tena, upatikanaji wa maji  kwa  njia  ya  Umwagiliaji  wa  miembe  ni  wa  lazima  sasa  kuliko ilivyowahi kuwa huko nyuma.  Na ili uweze kupata maji ya kumwagilia shamba la miembe, lazima  kuwa na chanzo cha  maji kinachoaminika na cha kudumu.
Kitabu hiki kinaeleza kwa muhtasari, kazi na faida za maji kwa miembe na namna bora ya kuyatumia kunyweshea (miembe). Aidha, kinaeleza kuhusu umwagiliaji na aina za vyanzo vya maji ya kumwagilia. Ni muhimu kila mkulima awe na elimu iliyomo kitabuni kwa    
mafanikio ya kilimo cha miembe.

Pay with DPO

dpo
Book Title Mahitaji ya Maji ya Kustawisha Miembe na Umuhimu wa Umwagiliaji
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9976-584-44-8
Edition Language
Date Published 2023-09-07
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 8
Chapters 15

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View