Magonjwa ya Mifugo

Magonjwa ya Mifugo

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010

Magonjwa ndicho chanzo kikuu cha vifo vya mifugo na umaskini wa wafugaji. Maelfu ya mifugo hufa kila mwaka kutokana na magonjwa. Bila kuugua, mifugo haiwezi kufa kwa kiasi hicho. Lakini, magonjwa yana visababishi au wakala. Tukijua visababishi hivyo na namna ya kuvidhibiti au kuvipunguza, magonjwa yatapungua sana. Kitabu hiki kinatoa elimu ya magonjwa: maana ya ugonjwa, wakala wake, aina, namna ya kuyazuia na matibabu yake. Ni elimu ambayo kila mkulima, hususan, kila mfugaji, maofisa ugani na viongozi wanatakiwa wawe nayo.

Pay with DPO

dpo
Book Title Magonjwa ya Mifugo
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 045 9
Edition Language Kiswahili
Date Published 2010-10-09
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 118
Chapters 7

Related Books

Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
UFUGAJI BORA WA SUNGURA
UFUGAJI BORA WA SUNGURA
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View