MAGONJWA YA FIGO
-
AuthorMariapia Niy’Imbona
- PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
- Year2026
Magonjwa ya figo yanaendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya jamii duniani, yakichangia ongezeko la vifo na gharama za matibabu kila mwaka.
Kitabu hiki kimeandaliwa kwa umakini mkubwa ili kutoa uelewa wa kina kuhusu afya ya figo na magonjwa yanayoathiri mfumo huu muhimu wa mwili.
Aidha, kitabu hiki kinaeleza kwa undani muundo na kazi za figo, mchakato wa maendeleo ya magonjwa ya figo pamoja na mbinu za kisasa za uchunguzi, tiba na kinga. Kinaangazia mchango wa magonjwa sugu kama kisukari na shinikizo la damu katika kuathiri figo na kutoa mwongozo mahsusi wa kudhibiti vihatarishi hivyo.
Pay with DPO

