MAGONJWA NA WADUDU WA MIPAPAI NA MAPAPAI NA UDHIBITI WAKE

MAGONJWA NA WADUDU WA MIPAPAI NA MAPAPAI NA UDHIBITI WAKE

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2023

Magonjwa na wadudu ni visumbufu vikuu vya kilimobiashara cha mipapai na mapapai nchini. visumbufu hivi ni changamoto kubwa kwa kilimobiashara cha zao hili.

Udhibiti wake huhitaji mkulima awe na:

  • Nguvukazi (idadi ya wafanyakazi wa shamba) ya kutosha wa kutunza vizuri shamba na kunyunyizia viuatilifu mimea.
  • Mtaji  (fedha)  wa  kutosha  wa  kununulia  viuatilifu  vya  kudhibiti  visumbufu  hivi  kwa  kiasi  cha  kutosha.  Ikumbukwe kuwa unyunyiziaji wa viuatilifu ni kwa kila baada ya siku saba (7) wakati wa kipindi cha mvua na kila baada ya siku kumi na nne(14) wakati wa kiangazi. Hairuhusiwi  kuruka siku hizo,vinginevyo, mimea itavamiwa na magonjwa na wadudu.

Uwepo  wa  magugu  shambani  huchangia  kuhifadhi  na  kuwa mojawapo ya vyanzo vya magonjwa na wadudu waharibifu.  Kwa hiyo, ni muhimu, pia, kudhibiti magugu shambani kwa kutumia njia ambazo zimeelezwa kitabuni. 


Kitabu hiki ni cha msaada kwa Wakulima,Mameneja wa Mashamba na Wafanyakazi wa mashamba.  Kitawasaidia kutambua  visumbufu  hivi: dalili zake, madhara yanayosababishwa na njia za udhibiti wake.

Pay with DPO

dpo
Book Title MAGONJWA NA WADUDU WA MIPAPAI NA MAPAPAI NA UDHIBITI WAKE
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9976-584-46-2
Edition Language
Date Published 2023-09-06
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 30
Chapters 3

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View