Kanuni 13 za Kuzalisha Ngozi Bora

Kanuni 13 za Kuzalisha Ngozi Bora

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2015

Tanzania inachukua nafasi ya tatu barani Afrika kwa kuwa na mifugo mingi. Nchi ya kwanza ni Sudani ikifuatiwa na Ethiopia. Kwa sasa nchi hii ina ng’ombe zaidi ya milioni 20, mbuzi zaidi ya milioni 14 na kondoo zaidi ya milioni 4. Kwa viwango vya uvunaji vinavyopendekezwa na serikali vya asilimia 10 – 15 kwa ng’ombe, 28 kwa mbuzi na 29 kwa kondoo kwa mwaka, ngozi zipatazo zaidi ya milioni 3.0 za ng’ombe, milioni 4.0 za mbuzi na milioni 1.1 za kondoo zinategemewa kupatikana kwa mwaka. Ngozi hizi zikiuzwa kwa bei nzuri ni mapato makubwa kwa wafugaji, wafanyabiashara ya ngozi na nchi, zikiuzwa nchi za nje huliingizia taifa fedha za kigeni na kwa viwanda vya ngozi vilivyoko nchini.

Pay with DPO

dpo
Book Title Kanuni 13 za Kuzalisha Ngozi Bora
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 050 3
Edition Language
Date Published 2015-11-09
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 48
Chapters 13

Related Books

Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
Mwongozo wa Ufugaji Bora wa Mbuzi
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
UFUGAJI BORA WA SUNGURA
UFUGAJI BORA WA SUNGURA
  • UFUGAJI WA WANYAMA (ANIMAL HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View