JUHUDI NA MAARIFA KATIKA KILIMO

JUHUDI NA MAARIFA KATIKA KILIMO

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year1980

Kilimo ni sayansi. Kilimo ni kazi ambayo huhusika na viumbe
vyenye uhai na visivyo na uhai. Kutokana na utafiti unaoendeshwa
nchini na katika nchi za nje, kila mwaka kuna njia au mbinu
mpya ambazo hugunduliwa na huweza kuwawezesha wakulima
kujipatia mavuno mengi na yaliyo bora. Maana haja kubwa ya
wakulima na taifa kwa jumla katika kilimo ni kupata mavuno mengi
na yaliyo bora. Kwa upande mwingine, mara nyingi wakulima
huuliza Mabwana na Mabibi shamba, au wao wenyewe huulizana
maswali mbalimbali juu ya kilimo. Kwa bahati mbaya au nzuri
majibu sahihi yanaweza kupatikana au yasipatikane kabisa.

Pay with DPO

dpo
Book Title JUHUDI NA MAARIFA KATIKA KILIMO
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 671 80 9
Edition Language Kiswahili
Date Published 2003-05-30
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 41
Chapters 5

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View