Jifunze Kustawisha UYOGA

Jifunze Kustawisha UYOGA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010

Uyoga ni zao la viumbe hai viitwavyo kuvu. Kwa watu wengi
hapa nchini Uyoga unaofahamika ni ule unaookotwa
au unaoonekana ukiota porini au kwenye vichuguu wakati wa
msimu wa mvua. Ukiwaeleza kuwa uyoga hustawishwa kama
ilivyo kwa mazao mengine, hawakuelewi! Ukiwaeleza kuwa
uyoga huweza kumwingizia mkulima fedha nyingi, pia
hawakuelewi.
Lakini, hawana kosa. Kilimo cha Uyoga nchini ni kipya na ni
kichanga. Watu wengi hawajui kuwa uyoga ni zao kama yalivyo
mazao tuliyoyazoea kuyastawisha.
Kwa upande mwingine, nchi yetu inafaa sana kustawisha aina
mbalimbali za uyoga. Uyoga unaostawi nchi zenye baridi na ule
wa nchi za joto unaweza kustawishwa katika maeneo mbalimbali
nchini.

Pay with DPO

dpo
Book Title Jifunze Kustawisha UYOGA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 031 2
Edition Language Kiswahili
Date Published 2010-06-19
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 34
Chapters 5

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View