Jifunze Kustawisha UFUTA

Jifunze Kustawisha UFUTA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010

Ufuta ni moja ya mazao muhimu ya mbegu za mafuta.
Hustawishwa kwa ajili ya chakula na biashara. Asili yake ni
Afrika Mashariki. Hapa nchini asilimia 75 ya ufuta wote
unaozalishwa hulimwa na wakulima wa mikoa ya Lindi, Mtwara
na Ruvuma. Asilimia 25 inayosalia huchangiwa na mikoa ya
Pwani, Morogoro, Dodoma, Tanga, Rukwa, Mbeya na kiasi
kidogo katika mikoa iliyosalia.
Wastani wa uzalishaji kwa hekta ni kilo 300, lakini wakulima
wakipanda aina bora na kuzingatia kanuni bora za zao hili
uzalishaji huweza kufika kilo 1,500. Uzalishaji mdogo
husabaishwa na:

Pay with DPO

dpo
Book Title Jifunze Kustawisha UFUTA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 040 4
Edition Language Kiswahili
Date Published 2009-10-21
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 38
Chapters 6

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View