Jifunze Kustawisha MINAZI

Jifunze Kustawisha MINAZI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010

Mnazi ni ‘Mti wa Uhai’ ni kauli isiyo na ubishi. Sehemu
mbalimbali za mti huu hutoa aina kadhaa za bidhaa. Kuanzia
mizizi hadi majani, sehemu zote hizo ni vyanzo vya matumizi
mbalimbali kama vile chakula, ujenzi wa nyumba, samani n.k.
Minazi ni zao la chakula, la biashara na hutengeneza vifaa vya
aina nyingi. Kilimo chake ni rahisi. Minazi hustawi zaidi katika
mwambao wa Tanzania, hasa mikoa ya Lindi, Mtwara, Pemba,
Pwani, Tanga na Unguja. Aidha, minazi hukutwa ikistawi
katika mikoa kadhaa mingine, ingawa ni kwa kiasi kidogo.

Pay with DPO

dpo
Book Title Jifunze Kustawisha MINAZI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-07-041-1
Edition Language Kiswahili
Date Published 2010-02-28
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 51
Chapters 6

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs4,500.00
View