Jifunze Kustawisha MIMEA YA MATUNDA

Jifunze Kustawisha MIMEA YA MATUNDA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010

1. Maana ya tunda
Tunda ni zao la mmea linalohifadhi mbegu ambalo hutokana
na ua. Baadhi ya aina za matunda ni chenza, chungwa, embe,
fenesi, bibo, nanazi, ndisi, nyanya, papai, parachichi, peasi,
tikiti, tomoko, tufaha na zabibu.
2. Umuhimu wa matunda
(a) Matunda ni chakula, kwa mfano, ndizi, maboga n.k.
(b) Matunda hutoa kinywaji kisichokuwa na kilevi ndani
yake, kama vile juisi ya machungwa, n.k.
(c) Matunda hutumika kutengenezea pombe na mvinyo yenye
kilevi kwa mfano, zabibu, ndizi n.k.
(d) Matunda ni kiungo, kwa mfano, nyanya.
(e) Matunda yana vii nilishe vinavyohitajika kwa afya yetu.
Matunda mengi yana vitamini C ambayo ni ya lazima
kwa kulinda afya ya miili yetu na sukari ambayo huupa
mwili nguvu.
Pia, matunda yana karotini ambayo baadaye hubadilishwa
na mwili kuwa vitamini A.

Pay with DPO

dpo
Book Title Jifunze Kustawisha MIMEA YA MATUNDA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 024 4
Edition Language Kiswahili
Date Published 2010-09-10
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 166
Chapters 16

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View