Jifunze Kustawisha Mikorosho

Jifunze Kustawisha Mikorosho

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2010

Korosho ni moja ya mazao muhimu ya biashara na chakula.
Mikoa inayolistawisha kwa wingi ni Mtwara, Lindi na Pwani.
Pia, hustawi Pemba na Unguja. Soko la korosho ni kubwa nchini
na katika nchi za nje. Tatizo ni kuwa uzalishaji uko chini ya
mahitaji ya soko. Uzalishaji kwa ekari au hektari na kwa mti
mmoja uko chini. Hii inatokana na wakulima wengi kutojua na
kutozingatia kanuni bora za kilimo cha zao hili. Aidha, jitihada
za kufufua na kuboresha mashamba ya mikorosho haziridhishi.
Kitabu hiki ni jitihada ya kueleza kanuni bora hizo kama
mchango wa mwandishi katika kuleta mapinduzi ya kilimo cha
zao hili. Hii ni njia mojawapo ya kutekeleza Kilimo Kwanza
katika Mikoa inayostawisha mikorosho. Kanuni hizo ni hizi
zifuatazo:

Pay with DPO

dpo
Book Title Jifunze Kustawisha Mikorosho
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 023 7
Edition Language Kiswahili
Date Published 2010-03-30
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 45
Chapters 8

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs5,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs5,000.00
View