JIFUNZE KUSTAWISHA MBOGA

JIFUNZE KUSTAWISHA MBOGA

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year1993

Kitabu hiki kimeandikwa ili kiwasaidie Wakulima kuendeleza aina
mpya ya kilimo, yaani, Ustawishaji wa Mboga. Kutokana na wingi wa
aina za mboga zilizopo, kimeandikwa kwa muhtasari. Hata hivyo,
hatukuweza kueleza kilimo cha aina zote za mboga. Zipo chache ambazo
zimeachwa.
Kitabu kimegawanywa katika sehemu mbili: Sehemu ya Kwanza inaelezea
Misingi ya Kustawisha Mboga, Sehemu ya Pili inaelezea Ustawishaji wa
aina mbalimbali za Mboga. Kila sehemu imegawanywa katika sura
kadhaa. Sehemu ya Kwanza ina sura kumi na moja (11) Sehemu ya Pili
ina sura sita (6). Mwishoni mwa kila sura yapo Maswali ya kumsaidia
msomaji ajipime kama ameielewa vizuri sura hiyo. Mwishoni kabisa ya
kitabu, zipo Nyongeza tatu (3), Tafsiri na Marejeo.

Pay with DPO

dpo
Book Title JIFUNZE KUSTAWISHA MBOGA
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-426-31-7
Edition Language Kiswahili
Date Published 1993-10-20
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 169
Chapters 17

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View