Wanyonge Wasinyongwe

Wanyonge Wasinyongwe

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2008

Sheria iliyopo ambayo ilitungwa wakati wa ukoloni hairuhusu matumizi ya vyombo vya usafiri vyenye magurudumu mawili, yaani, pikipiki na baiskeli, kubeba abiria kwa kuwatoza nauli, lakini inaruhusu kubeba abiria mradi usiwatoze nauli! Tangu Uhuru, sasa ni zaidi ya miaka 47, mambo mengi yamebadilika katika kipindi hicho. Mojawapo ni ongezeko la watu kutoka milioni tisa (9) mwaka 1961 na kufikia watu wapatao milioni arobaini (40) kwa sasa. Mahitaji ya usafirishaji wa wananchi yamebadilika sana. Eneo moja ambalo kuna mabadiliko ni ongezeko la baiskeli na pikipiki nchini na matumizi yake kibiashara kwa kubeba abiria na kuwatoza nauli ndogo. Biashara hii imefumuka katika majiji, manispaa, miji, mitaa, vijiji na vitongoji vya nchi nzima. Niambie ni wapi biashara hii haipo?

Pay with DPO

dpo
Book Title Wanyonge Wasinyongwe
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-07-011-4
Edition Language KISWAHILI
Date Published 2008-11-30
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 45
Chapters 11

Related Books

SILAHA 100 ZA KIONGOZI
SILAHA 100 ZA KIONGOZI
  • UONGOZI NA UTAWALA (LEADERSHIP & ADMINISTRATION)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View
Kudos President  Magufuli
Kudos President Magufuli
  • UONGOZI NA UTAWALA (LEADERSHIP & ADMINISTRATION)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View