SILAHA 100 ZA KIONGOZI

SILAHA 100 ZA KIONGOZI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2008

Kiongozi ni mtu yeyote, mwanamke au mwanaume, mwenye madaraka au mamlaka juu ya mtu mmoja au watu wengi. Maana nyingine ya Kiongozi ni mtu aliyepewa jukumu la kuongoza mtu mmoja au watu wengi. Mtu mmoja huyo anaweza akawa mwanandoa mwenzie au mtu mmoja mwingine ambaye ana ushirika naye. “Watu wengi” wanaweza kuanzia wanafamilia yake hadi taifa zima. Kwa upande mwingine, uongozi ni mamlaka ya kuongoza mtu mmoja au watu wengi kwa lengo maalumu. Lengo hilo linaweza kuwa ni la maendeleo au ukombozi wa aina fulani kwa mtu au watu hao. Uongozi katika jamii yoyote ni wa lazima. Pakiishakuwapo watu wawili lazima mmojawapo awe kiongozi, vinginevyo hapatakuwepo amani wala maendeleo. Hata kwa baadhi ya aina ya wanyama, upo utaratibu au mfumo wa kuwa na viongozi katika makundi au katika vitendo vyao.

Pay with DPO

dpo
Book Title SILAHA 100 ZA KIONGOZI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-07-005-3
Edition Language Kiswahili
Date Published 2018-06-01
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 77
Chapters 100

Related Books

Kudos President  Magufuli
Kudos President Magufuli
  • UONGOZI NA UTAWALA (LEADERSHIP & ADMINISTRATION)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View
Heko Rais Magufuli
Heko Rais Magufuli
  • UONGOZI NA UTAWALA (LEADERSHIP & ADMINISTRATION)
Tzs5,000.00 Tzs5,500.00
View