Uboreshaji wa Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji

Uboreshaji wa Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji

4.0
  • AuthorSamson Malimi Sabbo
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2015

Uboreshaji wa Ufugaji wa kuku wa kienyeji ni kazi inayohitaji maarifa na juhudi ili kupata mazao mazuri na bora. Wanunuzi wa kuku hupendelea kuku bora, mayai bora, nyama bora ambayo hupatikana kutokana na juhudi ya mfugaji kuweza kuwatunza kuku wake ipasavyo. Ufugaji bora wa kuku humhitaji mfugaji kuelewa na kuzingatia kanuni za ufugaji bora wa kuku, ambao ni pamoja na ujenzi wa banda bora; uchaguzi sahihi wa njia za ufugaji; utengenezaji na ulishaji wa chakula bora, udhibiti wa magonjwa; uzalishaji wa koo bora na elimu ya masoko. Ni lazima mfugaji wa kuku wa kienyeji awe na elimu hii ili aweze kuendesha shughuli zake kwa usahihi na kwa manufaa ya wote wale watakaopata huduma kwake.

Pay with DPO

dpo
Book Title Uboreshaji wa Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji
Author Samson Malimi Sabbo
ISBN 978 9987 426 20 1
Edition Language KISWAHILI
Date Published 2015-11-11
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 114
Chapters 12

Related Books

Ufugaji Bora wa Kuku
Ufugaji Bora wa Kuku
  • UFUGAJI WA KUKU (POUTRY HUSBANDRY)
Tzs5,000.00 Tzs6,000.00
View