Kabaka mwanga na Wafia dini ya Kikristo, Uganda

Kabaka mwanga na Wafia dini ya Kikristo, Uganda

4.0
  • AuthorAhmad Mujaki
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2019

 

Tamthilia hii ina mwelekeo wa habari zinazomhusu Kabaka Mwanga II, ambaye alikuwa Kiongozi Mkuu wa Buganda, nchini Uganda. anakumbukwa sana kwa ajili ya maelekezo aliyoyatoa ya kuwatesa na kuwaua waamini wapya na wa kwanza wa dini ya kikristo (wakatoliki 22 na Wanglikana 23) nchini Uganda, kati ya tarehe 31 januari 1885 na 27 Januari 1887. kwa taeatibu za dhehebu la katoliki, wale wafia dini 22, sasa ni Watakatifu.
Hata hivyo, kama utakavyosoma katika tamthilia hii iliyofanyiwa uchunguzi wa kina, Kabaka Mwanga II, alifanya mengi zaidi ya hayo.

Katika tamthilia hii, kuna mchanganyiko wa habari za kubuniwa ambazo zinafikiriwa kuwa kweli, japokuwa zinaweza kuwa za kubuni tu kwa namna fulani, sambamba na habari za matukio ya kweli, ili kukupatia wewe msomaji kitu kinachoweza kukiita burudani ya kisiasa na jamii.

Karibu kwenye tamthilia hii.

Pay with DPO

dpo
Book Title Kabaka mwanga na Wafia dini ya Kikristo, Uganda
Author Ahmad Mujaki
ISBN 978-9987-07-070-1
Edition Language
Date Published 2023-09-07
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 33
Chapters 5

Related Books

BINADAMU NI ROHO NA MWILI
BINADAMU NI ROHO NA MWILI
  • DINI NA IMANI (RELIGION AND BELIEF)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View
Uongozi wa Kiroho : Misingi ya Uongozi katika Kanisa la Kikristo
Uongozi wa Kiroho : Misingi ya Uongozi katika Kanisa la Kikristo
  • DINI NA IMANI (RELIGION AND BELIEF)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View