BINADAMU NI ROHO NA MWILI

BINADAMU NI ROHO NA MWILI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2020

Kitabu kinaeleza Asili ya Binadamu kwa mujibu wa Sayansi na kwa mujibu wa Biblia takatifu na Quran tukufu. Kinaelimisha juu ya Elimu-nafsia, sehemu mbili za maisha ya binadamu, sehemu kuu mbili za binadamu, yaani, Mwili na Ufahamu. Ufahamu nao una sehemu tano, yaani Akili, Roho, Mwili, Nguvu na Nafsi. Sehemu zote hizi zina kazi maalum ndani ya binadamu.
Kitabu kinaeleza kuwa binadamu ni roho na mwili. roho inaishi katika mwili ulio hai. binadamu bila roho si binadamu tena, ni marehemu ni kasha lililo tupu.
aidha, kitabu kina sura juu ya uhusiano uliopo kati ya roho, nafsi na mwili. sura ya mwisho inahusu yesu kristo kulia kwa kifo cha rafiki yake Lazaro.
Kitabu hiki ni moja ya vitabu vinavyochapishwa na kampuni hii chini ya mfululizo wa "Uchimbaji Elimu ya Dini"

Pay with DPO

dpo
Book Title BINADAMU NI ROHO NA MWILI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9987-07-096-1
Edition Language
Date Published 2020-01-01
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 40
Chapters 7

Related Books

Uongozi wa Kiroho : Misingi ya Uongozi katika Kanisa la Kikristo
Uongozi wa Kiroho : Misingi ya Uongozi katika Kanisa la Kikristo
  • DINI NA IMANI (RELIGION AND BELIEF)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View
Kabaka mwanga na Wafia dini ya Kikristo, Uganda
Kabaka mwanga na Wafia dini ya Kikristo, Uganda
  • DINI NA IMANI (RELIGION AND BELIEF)
Tzs5,000.00 Tzs10,000.00
View