MWONGOZO WA KUANDIKA  HADITHI FUPI

MWONGOZO WA KUANDIKA HADITHI FUPI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2026

Mwongozo wa Kuandika Hadithi Fupi ni kitabu cha kipekee kilichoandikwa kwa ajili ya waandishi wanaoanza kuandika hadithi hadi wenye uzoefu. Kinaelezea hatua kwa hatua jinsi ya kuunda hadithi fupi zenye msukumo, wahusika thabiti, taswira halisi na matukio yanayoshika hisia za msomaji.

Kitabu hiki kinatoa:

• Mbinu za uandishi na uhariri wa hadithi fupi

•Mifano halisi ya hadithi fupi za aina mbalimbali zenye: ucheshi, kihistoria, kijamii, hisia na kidijitali

•Mikakati ya kuwasilisha na kuchapisha hadithi, kiasili  na kidijitali.

Ni mwongozo kamili kwa:

•Wanafunzi wa fasihi

•Waandishi chipukizi na wenye uzoefu

•Waalimu, warsha za fasihi na mashirika ya kitamaduni

•Kwa yeyote anayetaka kuboresha uandishi wake wa Kiswahili  na kufanikisha hadithi fupi zenye thamani ya kijamii na kisanii

Kitabu hiki kinatoa elimu kwa waandishi ili kuandika hadithi fupi  kwa  wingi  maana  hadithi  hazichapishwi tu, zinaishi,

zinaelimisha na kushika hisia za wasomaji.

 

Pay with DPO

dpo
Book Title MWONGOZO WA KUANDIKA HADITHI FUPI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978-9912-767-25-6
Edition Language Kiswahili
Date Published 2026-04-09
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 122
Chapters 32

Related Books