KILIMO CHA UMWAGILIAJI

KILIMO CHA UMWAGILIAJI

4.0
  • AuthorPius B. Ngeze
  • PublisherTanzania Educational Publishers Ltd
  • Year2008

Mwaka 1974 kulitokea upungufu wa mazao muhimu ya chakula
nchini. Upungufu huu ulitokea kwa sababu ya ukosefu wa mvua
katika mikoa kadhaa katika msimu wa kilimo wa 1972/73 na
hata msimu wa kilimo wa 1973/74. Taifa lililazimika kuagiza
mahindi, mchele na ngano kutoka nchi za nje kwa thamani ya
shilingi milioni 935 (za wakati huo).
Nafaka hizi zilikuwa za kutosheleza mahitaji ya wananchi hadi
Septemba, 1975. Ukame huu pia ulisababisha malisho ya mifugo
kukauka na kiasi cha mifugo kufa katika mikoa fulani.

Pay with DPO

dpo
Book Title KILIMO CHA UMWAGILIAJI
Author Pius B. Ngeze
ISBN 978 9987 07 033 6
Edition Language
Date Published 2008-10-30
Publisher Tanzania Educational Publishers Ltd
Pages 29
Chapters 9

Related Books

Banana and their Management
Banana and their Management
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs5,000.00
View
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
COTTON IN TANZANIA: Breaking the Jinx
  • KILIMO CHA MAZAO (MORDEN CROPS HUSBANDRY)
Tzs4,000.00 Tzs5,000.00
View